Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE Bw Edwin Rutageruka alipotembelea Kliniki ya Biashara inayoratibiwa na TanTrade wakati wa Ufunguzi wa Maonesho ya Pili ya SIDO kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Bombadia Mjini Singida. Kliniki hii inashirikisha Taasisi za Serikali ikiwemo TRA, BRELA, TBS, FCC, MKEMIA MKUU, TFS, WMA, SIDO na
imedhaminiwa na NBC.Mkurugenzi Mkuu amemweleza Mhe.Waziri Mkuu kuwa TanTrade kwa kushirikiana na Taasisi nyingine wanajipanga kupata ofisi ya kudumu kwa ajili ya kutoa huduma ya Kliniki ya Biashara
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...