Msanii wa Bongo fleva Maua Sama, akitoa burudani kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.

Wasanii wa Bongo fleva Saida Karoli na Chege Chigunda, wakitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.
Wasanii wa Bongo fleva Bill Nas na Nandy wakitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.
Msanii wa Bongo fleva Whozu, akitoa burudani kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.
Msanii wa Bongo fleva Dogo Janja, akitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.
Mashabiki wa burudani wakionyesha shangwe la levels za Saizi Yako kwenye tamasha la Tigo Fiesta mjini Muleba mkoani Kagera.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...