Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Mh.Ummy Mwalimu ameeleza jana mbele ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na Wananchi kwa ujumla kuwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) itahakikisha Dawa na Vifaa Tiba vinavyopitia mpaka wa Tunduma,Tanzania na Nakonde,Zambia ni salama,fanisi na vyenye ubora unaotakiwa.
Home
AFYA
MICHUZI TV
TMDA ITAHAKIKISHA DAWA NA VIFAA TIBA VINAVYOPITA MPAKANI NI SALAMA NA VYENYE UBORA-WAZIRI UMMY
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...