TMDA imechangia taulo za kike pakiti 2,448 kwa wanafunzi wa kidato cha nne walio kambi ya kitaaluma ili kuunga mkono jitihada za Mkoa wa Simiyu katika kukuza elimu ili kumuunga mkono Mkuu wa mkoa huo Bw. Anthony Mtaka.

Pichani ni Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) akimkabidhi Taulo za kike Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso aliyekuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo katika hafla hiyo Katikati ni Mkuu wa mkoa huo Anthony Mtaka.
Bi. Gaudensia Simwanza Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ummaakiwa pamoja na wanafunzi wa kike walioweka kambi ya kitaaluma mkoani Simiyu wakionesha taulo hizo.

Wanafunzi wakishangilia mara baada ya kupokea taulo hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...