Mkuu wa wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga aliyemwakilisha mkuu wa mkoa wa Simiyu Antony Mtaka kuwa mgeni rasmi, akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua Duka maalum la huduma za Vodacom (Vodacom Shop) mjini Bariadi – Simiyu, jana.
Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Bw. Festo Kiswaga aliyemwakilisha mkuu wa mkoa wa Simiyu Bw. Antony Mtaka akiongea na wananchi katika uzinduzi wa Duka la VODACOM SHOP mjini Bariadi.
 
Mgeni rasmi mkuu wa wilaya Bariadi Festo Kiswaga akimlisha keki Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo kanda ya Ziwa – Vodacom, Bw. Ayubu Kalufya mara baada ya uzinduzi rasmi wa Vodacom Shop mjini Bariadi.
Meneja wa Vodacom Mkoa wa Simiyu, Chanila akimimina kinywaji cha Champagne kwa Mgeni rasmi na kiongozi mkuu kanda ya ziwa kampuni ya Vodacom ikiwa ni ishara ya kufurahia uzinduzi wa duka jipya
Meneja wa Vodacom Mkoa wa Simiyu, Chanila akimimina kinywaji cha Champagne kwa Mgeni rasmi na kiongozi mkuu kanda ya ziwa kampuni ya Vodacom ikiwa ni ishara ya kufurahia uzinduzi wa duka jipya 



Mkuu wa wilaya ya Bariadi Bw. Festo Kiswaga ambaye ndiye alikuwa Mgeni rasmi katika uzinduzi huo na wadau mbali mbali wa Vodacom wakitoa zawadi kwa wasanii maarufu kutoka mjini Bariadi.

Baadhi ya wananchi wilayani Bariadi wakisubiri kushuhudia uzinduzi wa duka maalum la Vodacom.
Baadhi ya watumishi na wadau wa kampuni ya Vodacom wakiwa katika maandamano ya furaha ya uzinduzi wa Duka maalum la Vodacom mjini Bariadi mkoani Simiyu. 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...