Mkurugenzi Msaidizi Wizara kutoka Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Jackson Samwel akifungua kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa za hali halisi ya utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) kilichofanyika Ukumbi wa mikutano wa ofisi hiyo Jijini Dodoma Oktoba 8, 2019.

Mratibu Taifa wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Bi. Happiness Mugyabuso akizungumza jambo wakati kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.


Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Bi. Rennie Gondwe akiwasilisha hoja wakati kikao cha mapitio rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.



(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...