Sanjari na Mdahalo huo, uongozi mpya wa wanafunzi wa Tanzania wanaosoma vyuo vikuu nchini Uganda walitumia hafla hiyo kuapishwa rasmi kushika madaraka waliyochaguliwa.




Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz P. Mlima (katikati), Mwambata Jeshi, Brig. Gen. Stephen Mkumbo na Afisa anayesimamia masuala ya Utawala Ubalozini wakiwa katika hafla ya Kumbukizi ya Miaka 20 ya Siku ya Mwalimu Nyerere iliyofanyika kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda tarehe 13 Oktoba 2019. Hafla hiyo ilifanyika kwa kufanya mdahalo kuhusu maisha ya Mwalimu Nyerere ambapo wanafunzi mbalimbali kutoka Tanzania wanaosoma elimu ya juu nchini Uganda walishiriki mdahalo huo.
Wanafunzi walioshiriki wakifuatilia kwa makini hoja zilizokuwa zinawasilishwa katika mdahalo huo kuhusu maisha ya Mwalimu Nyerere.
Balozi Mlima akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa Tanzania wanaosoma nchini Uganda. 


Uongozi wa wanafunzi wa Tanzania wanaosoma nchini Uganda wakiwa katika picha ya pamoja. 











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...