Mwenge wa Uhuru ukiwa mbele ya Zahanati ya Tupendane iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mara baada ya ujumbe wa Mwenge huo kuitembelea Halmashauri ya Mji Newala ili kukagua na kujiridhisha na ujenzi wa zahanati hiyo. Kiongozi wa Kitaifa wa Mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka 2019, Ndugu Mzee Mkongea Ali ameweka jiwe la msingi katika zahanati hiyo.
Sehemu ya viongozi na wananchi wa kijiji cha Tupendane katika Halmashauri ya Mji Newala waliojitokeza kuulaki Mwenge wa Uhuru mara baada ya ujumbe wa Mwenge huo kuwasili kwa ajili ya ukaguzi wa ujenzi wa zahanati katika kijiji hicho.
Mwenge wa Uhuru ukiwa mbele ya Zahanati ya Tupendane iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mara baada ya ujumbe wa Mwenge huo kuitembelea Halmashauri ya Mji Newala ili kukagua na kujiridhisha na ujenzi wa zahanati hiyo. Kiongozi wa Kitaifa wa Mbio za Mwenge wa Uhuru za mwaka 2019, Ndugu Mzee Mkongea Ali ameweka jiwe la msingi katika zahanati hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...