Kwa Mkoa Mwanza, zaidi ya watoto laki
sita (watoto 637,579) wanatarajiwa kupewa chanjo ya Rubella na Polio huku
watakaopewa chanjo ya Surua wakitarajiwa kuwa zaidi ya elfu sitini (watoto
266,140) hivyo kufanya jumla ya watoto wanaotarajiwa kuchanjwa kuwa laki tisa
elfu tatu mia saba kumi na tisa (watoto
903,719). Kitaifa uzinduzi wa zoezi hilo umefanyika mkoani Morogoro, Oktoba 17,
2019.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akizungumza kwenye uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo dhidi ya Surua, Rubella na Polio.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akitoa salamu za Wizara kwenye uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo mkoani Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...