Waziri Mkuu Mstaafuu Mh Mizengo Pinda akizungumza wakati wa siku ya kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyoadhimishwa leo jijini Beijing katika Chuo Kikuu cha Peking na kuhudhuriwa na viongozi mbalimali wa Serikali,Chama cha Kikomunisti, wanadiplomasia, wanazuoni na wanafunzi.
 Balozi wa Tanzania nchini China,Mh Mbelwa Kairuki akizungumza jambo kwenye Siku ya kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyoadhimishwa leo jijini Beijing katika Chuo Kikuu cha Peking na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo Pinda na viongozi wa Serikali,Chama cha Kikomunisti, wanadiplomasia, wanazuoni na wanafunzi.
Baadhi ya viongozi wa Serikali,Chama cha Kikomunisti, wanadiplomasia, wanazuoni na wanafunzi wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyokuwa yakijiri  leo kwenye siku ya kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyoadhimishwa jijini Beijing katika Chuo Kikuu cha Peking .
  Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizungumza jambo  katika siku ya kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyoadhimishwa leo jijini Beijing katika Chuo Kikuu cha Peking na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo Pinda na viongozi wa Serikali,Chama cha Kikomunisti, wanadiplomasia, wanazuoni na wanafunzi.
 
Baadhi ya Wawakilishi kutoka katika Chama cha Kikomunisti cha China wakieleza namna walivyomfahamu Baba wa Taifa,Hayati Mwalimu Julius Nyerere,yote hayo yamefanyika leo katika siku ya kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyoadhimishwa leo jijini Beijing katika Chuo Kikuu cha Peking na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Mizengo Pinda na viongozi wa Serikali,Chama cha Kikomunisti, wanadiplomasia, wanazuoni na wanafunzi.
 Picha ya pamoja.Picha kwa hisani ya Mdau Phelista Wegessa-Beijing,China.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...