Rais Dkt John Pombe Magufuli leo , Novemba 03, 2019 amemteua Ndugu Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Dkt.Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014

Kabla ya uteuzi wa leo, Kichere alikuwa Katibu Tawala Mkoa wa Njombe na awali alishawahi kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...