Waziri Mkuu katika Bunge la sita la Vijana Tanzania kwa mwaka 2019 Ndg. Alvin Maro akifafanua jambo kwenye kikao cha Bunge hilo lililozinduliwa rasmi hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge la sita la Vijana Tanzania kwa mwaka 2019 Ndg. Ramadhan Singa akiendesha kikao cha Bunge hilo lililozinduliwa rasmi hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Wabunge wa Bunge la sita la Vijana Tanzania kwa mwaka 2019 wakiwa katika Mjadala wa Bunge hilo lililozinduliwa rasmi hii leo kwenye Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge/.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...