Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Hutuba yake wakati alipokuwa akizungumza na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini(A) (hawapo pichani) katika Ziara zake za kuimarisha Chama Mkoa wa Kaskazini Unguja katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni leo (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Saadala(Mabodi)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Hutuba yake wakati alipokuwa akizungumza na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini(A) katika Ziara zake za kuimarisha Chama Mkoa wa Kaskazini Unguja katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni leo
Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini (A) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa Hutuba yake kwa Wazee hao wakati wa mkutano katika ziara zake za kuimarisha Chama Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni leo
Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini (A) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa Hutuba yake kwa Wazee hao wakati wa mkutano katika ziara zake za kuimarisha Chama Mkoa wa Kaskazini Unguja katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni leo
Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini (A) wakiitikia dua iliyoombwa baada ya kumalizika kwa mkutano wa kuimarisha Chama uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Mikutano wa Kituo cha Mafunzi ya Amali Mkokotoni leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiagana na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini(A)baada ya kumalizika kwa mkutano alioufanya leo na Wazee hao akiwa katika Ziara zake za kuimarisha Chama Mkoa wa Kaskazini Unguja, katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Saadala(Mabodi) pamoja na Viongozi wengine wa Chama alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni katika Mkutano wa kuimarisha Chama na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini (A) Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Nd,Laila Burhan Ngozi pamoja na Viongozi wengine wa Chama alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni katika Mkutano wa kuimarisha Chama na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini (A) Mkoa wa Kaskazini Unguja leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...