Mdau wetu Dk Bariki Zacharia Kingu akifurahia mara baada ya kutunukiwa shahada ya udaktari katika Chuo kikuyu cha udaktari KCMC mjini Moshi mapema leo .Mtandao huy tunampa hongera na kumtakia kila la Kheri katika maisha yake mapya ya kuhudumia watanzania katika kituo chake cha kazi
Matina Nkurlu ambaye ni kaka yake Dk Bariki Zacharia Kingu akimpongeza mdogo wake mara baada ya kutunukiwa leo Shahada ya udaktari katika Chuo kikuyu cha Udaktari KCMC Mjini Moshi mapema leo
Matina Nkurlu na dada yake Blandina Zacharia Kingu wakifurahia Pamoja na mdogo wao Dk Bariki Zacharia Kingu mara baada ya kutunukiwa shahada ya udaktari katika Chuo kikuu cha udaktari KCMC mjini Moshi mapema Leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...