Mdau
wetu Dk Bariki Zacharia Kingu akifurahia mara baada ya kutunukiwa
shahada ya udaktari katika Chuo kikuyu cha udaktari KCMC mjini Moshi
mapema leo .Mtandao huy tunampa hongera na kumtakia kila la Kheri katika
maisha yake mapya ya kuhudumia watanzania katika kituo chake cha kazi
Matina
Nkurlu ambaye ni kaka yake Dk Bariki Zacharia Kingu akimpongeza mdogo
wake mara baada ya kutunukiwa leo Shahada ya udaktari katika Chuo kikuyu
cha Udaktari KCMC Mjini Moshi mapema leo
Matina
Nkurlu na dada yake Blandina Zacharia Kingu wakifurahia Pamoja na mdogo
wao Dk Bariki Zacharia Kingu mara baada ya kutunukiwa shahada ya
udaktari katika Chuo kikuu cha udaktari KCMC mjini Moshi mapema Leo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...