Meneja Miradi ya Jamii (usafi wa mazingira) Bw Charles
Makoye akitoa maelezo kwa Maafisa Afya wa Manispaa za Jiji la Dar es
Salaam walipotembelea Miradi ya Jamii ya Majitaka katika eneo la
Vingunguti na Toangoma wilayani Temeke.Miradi hii imesaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko na kujenga ustawi wa maisha ya wakazi wa maeneo tajwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...