Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Katibu wa Bunge la Vijana mwaka 2019, Ndugu Winfrida Gavana kabla ya kufunga Bunge hilo lilikuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Katibu Mezani wa Bunge la Vijana, Ndugu Dolvin Olomi na Spika wa Bunge la Vijana Ndugu, Ramadhani Singa.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa Hotuba ya Kufunga Bunge la Vijana mwaka 2019, lillilokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana wabunge wa Bunge la Vijana mwaka 2019 mara baada ya kulifunga Bunge hilo lililokuwa likiendelea katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...