Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika   baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019. Kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango. PICHA NA IKULU
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono kwa furaha na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Africa wakati wa mazungumzo yao Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zawadi ya kinyago   Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika  alipokutana naye kwa mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na   Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake alipokutana naye Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika  baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na pamoja na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu wa wizara hiyo Doto James na maafisa waandamizi wa wizara  alipokutana naye Ikulu Chamwino
jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...