Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019. Kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango. PICHA NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono kwa furaha na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Africa wakati wa mazungumzo yao Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zawadi ya kinyago Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika alipokutana naye kwa mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake alipokutana naye Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na pamoja na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu wa wizara hiyo Doto James na maafisa waandamizi wa wizara alipokutana naye Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zawadi ya kinyago Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika alipokutana naye kwa mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake alipokutana naye Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 25, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na pamoja na Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo ya Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika na ujumbe wake na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu wa wizara hiyo Doto James na maafisa waandamizi wa wizara alipokutana naye Ikulu Chamwino
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...