Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine akivuta utepe kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine wa mkoa wa Dodoma akitoka kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kituo hicho Kikuu cha Mabasi mkoani Dodoma ambapo ujenzi wake upo mbioni kukamilika. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda kabla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Dodoma kabla ya kuwahutubia katika eneo la wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma.
Sehemu ya Stendi Kuu ya Dodoma kama inavyoonekana pichani.












Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...