Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Jamii Patrick Golwike (kushoto) akizungumza katika siku ya pili ya kikao kazi kilichowakutanisha Wakuu wa vyuo na Taasisi za Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii nchini kilichofanyika mkoani Morogoro.

Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Wizara ya Mawasiliano Bw. Mulengwa Munaku akitoa mada kuhusu ubunifu na Teknkolojia katika siku ya pili ya kikao kazi kilichowakutanisha Wakuu wa vyuo na Taasisi za Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii nchini kilichofanyika mkoani Morogoro.


Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru Dkt. Bakari George akitoa mada kuhusu ushiriki wa vyuo vya Maendelo ya Jamii katika kutatua changamoto za jamii inayovizunguka katika siku ya pili ya kikao kazi kilichowakutanisha Wakuu wa vyuo na Taasisi za Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii nchini kilichofanyika mkoani Morogoro.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawalana Rasilimali Watu kutoka Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bw. Marko Masaya (wa pili kushoto) akizungumzia masuala ya kiutawala katika siku ya pili ya kikao kazi kilichowakutanisha Wakuu wa vyuo na Taasisi za Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii nchini kilichofanyika mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...