Mratibu wa Instant Schools Christine Lucas (kati) akiwagawia vitabu  wanafunzi wa shule ya sekondari Mtakuja ya jijini Dar es Salaam .


Mratibu wa Instant Schools Christine Lucas (kushoto) akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Mtakuja ya jijini Dar es Salaam kuhusu mfumo huo unavyofanya kazi wakati wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Foundation walipofanya ziara katika shule hiyo. Mfumo huu unasaidia wanafunzi kujisomea popote wanapokuwa bila gharama yeyote ile. VTF ilitoa kompyuta 24 zilizounganishwa na intaneti vyote vikiwa na thamani ya shilingi 131,904,000/=

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...