Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza,Salum Kalli akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bwiru Wasichana jana baada ya kufanya nao mazoezi ya kiungo pamoja. PICHA ZOTE NA BALTAZAR MASHAKA MWANZA.
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Bwiru Wasichana akiwaongoza wanafunzi wa shule hiyo kufanya mazoezi pamoja na Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli jana.
Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza,Salum Kalli, wa tatu kutoka kukaa akishikiru mazoezi ya viungo pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bwiru Wasichana jana.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bwiru Wasichana wakifanya mazoezi ya kujenga mwili pamoja na Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli, wa pili kutoka kila jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...