Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akigawa jumla mizinga ya kisasa 1000 kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiweka nta maalum inayotumika kuwavutia nyuki kuingia kwenye kwenye mizinga ya kisasa ya maoksi pale inapotudikwa wakati akigawa jumla mizinga ya kisasa 1000 kwa Chuo cha Mafuzo ya Ufugaji Nyuki Tabora na Jumuiya ya Wafugaji wa Nyuki wa Ipole WMA mkoani Tabora.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watedaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Wajume wa Kamati ya Kitaifa ya Ushauri wa Ufugaji Nyuki nchini iliyoziduliwa .

Waziri wa Maliasili na utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akisikiliza maelezo kuhusu ufugaji wa nyuki wadogo na mazao yake kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Ufugaji wa Nyuki Bw. Daniel Charles Pancras alipotembelea na kukagua kituo cha Utafiti na Mafunzo cha kuzalisha nyuki wadogo katika Chuo cha Mafunzo ya Ufugaji Nyuki mkoani Tabora.

Picha/ Aron Msigwa – WMU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...