Kufuatia mvua inayoendelea kunyesha maeneo mengi yamekumbwa na changamoto ya kupitika sambamba na biashara kutofanyika kabisa.
 Mmoja wa Wanafunzi akiende shuleni
 Baadhi ya Wakazi wa Mbagala Rangi tatu jijini Dar es Salaam wakiwa katika kituo cha mabasi cha Mbagala wakisubiri usafiri,huku eneo hilo likiwa limejaa maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha leo  jijini Dar es Salaam na mikoa ya Pwani (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...