Meneja wa Benki ya Exim tawi la Tabora, Bw Emmanuel Nkelebe (Kulia) akikabidhi msaada wa taulo za kike kwa mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Tabora (Tabora Girls Secondary School) Emmaculata Olola ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni pamoja na Afisa Mauzo wa benki hiyo Bi Hawa Dachi (wa pili kulia) na walimu wa shule hiyo.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la Tabora, Bw Emmanuel Nkelebe (Kulia) akikabidhi msaada wa taulo za kike kwa mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Tabora (Tabora Girls Secondary School) Naroka Mbaga ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni pamoja na Afisa Mauzo wa benki hiyo Bi Hawa Dachi (wa pili kulia) na walimu wa shule hiyo.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la Tabora, Bw Emmanuel Nkelebe (wa pili kulia) akikabidhi msaada wa taulo za kike kwa Mlezi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Tabora (Tabora Girls Secondary School) Bi. Agnes Mlelwa ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...