Kamishna Jenerali wa
Magerezanchini, CGP – Phaustine Kasike(kushoto vazi la kiraia) akiteta
jambo na Mkuu wa Magereza Mkoani Mwanza, SACP. Hamza Hamza.Picha zote na Jeshi la Magereza
Kamishna Jenerali wa Magereza
nchini, CGP – Phaustine Kasike akisisitiza jambo wakati akizungumza na
Maafisa waandamizi wa Magereza Mkoani Mwanza alipowasili leo Desemba
4, 2019 akitokea Mkoani Geita kwa shughuli za kikazi.
Baadhi ya Maafisa Waandamizi wa
Jeshi la Magereza Mkoani Mwanza wakifuatilia mazungumzo ya Kamishna
Jenerali wa Magereza nchini, CGP – Phaustine Kasike(hayupo pichani) leo
Desemba 4, 2019 alipowasili jijini Mwanza akitokea Mkoani Geita kwa
shughuli za kikazi.
Kamishna Jenerali wa Magereza
nchini, CGP – Phaustine Kasike akisalimiana na Maafisa waandamizi wa
Magereza Mkoani Mwanza alipowasili leo Desemba 4, 2019 akitokea Mkoani
Geita kwa shughuli za kikazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...