Kamishna Jenerali wa Magerezanchini, CGP – Phaustine Kasike(kushoto vazi la kiraia) akiteta jambo na Mkuu wa Magereza Mkoani Mwanza, SACP. Hamza Hamza.Picha zote na Jeshi la Magereza
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, CGP –  Phaustine Kasike akisisitiza jambo wakati akizungumza na  Maafisa waandamizi wa Magereza Mkoani Mwanza alipowasili  leo Desemba 4, 2019 akitokea Mkoani Geita kwa shughuli za kikazi.
Baadhi ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza Mkoani Mwanza wakifuatilia mazungumzo ya Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, CGP – Phaustine Kasike(hayupo pichani) leo Desemba 4, 2019 alipowasili jijini Mwanza akitokea Mkoani Geita kwa shughuli za kikazi.

Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, CGP – Phaustine Kasike akisalimiana na Maafisa waandamizi wa Magereza Mkoani Mwanza alipowasili  leo Desemba 4, 2019 akitokea Mkoani Geita kwa shughuli za kikazi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...