Mkurugenzi wa Kampuni S-M Cathan, Turyahikayo Mugisha akimkabidhi akimkabidhi mwanafunzi bora wa Mwaka katika masomo yote Hellen Shita Cheti cha utambuzi na hundi ya fedha wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri kwenye masomo yao. Wanaoshuhudia (wa nne kushoto) ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga (wa pili kushoto), Naibu Makamu Mkuu wa Chuo-Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Carolyne (kulia) na baadhi ya wanataaluma wa chuo. (Imeandaliwa na Robert Okanda)

SEHEMU ya wanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi (ARU), wakifuatilia matukio wakati wa hafla ya kuzawadiwa baada ya kufanya vizuri katika masomo yao.

SEHEMU ya wanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi (ARU), wakifuatilia matukio wakati wa hafla ya kuzawadiwa baada ya kufanya vizuri katika masomo yao.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa akimkabidhi mmoja wa wanafunzi cheti cha kumtambua kwa kufanya vizuri kwenye masomo yake wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo-Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Carolyne Nombo (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Shahada za uzamivu, tafiti na Machapisho- Dkt. Yasin Senkondo.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa akimkabidhi Maryhappines Kamazima cheti cha utambuzi kwa kuibuka mwanafunzi bora wa Mwaka wa pili katika fani ya Utawala wa maji na Usafirishaji, iliyodhaminiwa na Chama cha Uhandisi wa Mazingira (TAEES) wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Carolyne Nombo (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Shahada za uzamivu na Machapisho wa ARU, Dkt. Yasin Senkondo.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa akimkabidhi mwanafunzi bora wa Mwaka katika masomo yote Doreen Tiibuza mwanafunzi wa mwaka wa mwisho wa shahada ya ubunifu wa mandhari ya ndani wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo kwa wanafunzi waliofanya vizuri kwenye masomo yao. Kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa ARU –Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga na Naibu Makamu Mkuu wa ARU-Mipango Fedha na Utawala, Profesa Carolyne Nombo.


SEHEMU ya wazazi, wageni na wanafunzi wa chuo Kikuu Ardhi (ARU), wakifuatilia matukio wakati wa hafla ya kuzawadiwa baada ya kufanya vizuri katika masomo yao.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa akimkabidhi mmoja wa wanafunzi cheti cha kumtambua kwa kufanya vizuri kwenye masomo yake wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo –Taaluma, Profesa Gabriel Kassenga, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo-Mipango, Fedha na Utawala, Profesa Carolyne Nombo (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Shahada za uzamivu na Machapisho- Dkt. Yasin Senkondo.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa (wa kumi na mbili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa hafla hiyo.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Profesa Evaristo Liwa (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine na wadhamini tuzo mbalimbali kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...