Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas akiongea na askari wanaohitimu mafunzo ya usimamizi wa Ulinzi katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji yaliofanyika katika pori la West Kilimanjaro mkoani Kilimanjaro.(Picha na Jeshi la Polisi).
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la polisi, CP Liberatus Sabas akisalimiana na wakufunzi wa Askari wa Kikosi Maalum kinachotarajiwa kujiunga na vikosi vingine vya Ulinzi wa Amani Kimataifa kwaajili ya kusimamia amani katika nchi au mataifa yenye migogoro. (Picha na Jeshi la Polisi)
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas akisalimiana na wakufunzi wa askari wa Kikosi Maalum kitakachosimamia Ulinzi wa Amani katika Mpaka wa Tanzania na Msumbiji huko mkoani Mtwara katika Mto Ruvuma ambapo kumekuwa kukitokea mauaji ya mara kwa mara kwa raia wema yaliosababishwa na wahalifu kutoka Nchini jirani ya Msumbiji. (Picha na Jeshi la Polisi)
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas akimkabidhi cheti cha ukufunzi bora Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP William Mwampagale wakati akifunga mafunzo ya askari wa Ulinzi wa Amani Kimataifa Kilelepori mkoani Kilimanjaro.(Picha na Jeshi la Polisi)
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas wa tatu kutoka kushoto kwa waliokaa akiwa katika picha ya pamoja Maafisa wa Jeshi la Polisi, wakufunzi wa ndani pamoja na wakufunzi wa umoja wa kimataifa baada ya kufunga mafunzo Kilelepori mkoani kilimanjaro. (Picha na Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...