Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Naiz Majani na wenzake kutoka Jamhuri ya watu wa China wakimpima mtoto kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echo Cardiogram) kabla ya kumfanyia upasuaji mdogo wa kuziba tundu la moyo kupitia mshipa wa damu wa kwenye paja kwa kutumia mashine ya (ECHO machine) bila ya kutumia mionzi (Transthoracic Echocardiography – TTE). Mara nyingi upasuaji huo hufanyika kwa njia ya mionzi kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory).
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Jamhuri ya watu wa China Prof. PAN Xiang Bin akimfanyia mtoto mwenye umri wa miaka minne ambaye amelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) upasuaji mdogo wa kuziba tundu la moyo bila kufungua kifua kupitia mshipa wa damu wa kwenye paja kwa kutumia mashine ya kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (ECHO machine) bila ya kutumia mionzi (Transthoracic Echocardiography – TTE). Mara nyingi upasuaji huo hufanyika kwa njia ya mionzi kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory).
Madaktari na wauguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao kutoka Jamhuri ya Watu wa China wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumfanyia mtoto upasuaji mdogo wa kuziba tundu la moyo bila kufungua kifua kupitia mshipa wa damu wa kwenye paja kwa kutumia mashine ya kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (ECHO machine) bila ya kutumia mionzi (Transthoracic Echocardiography – TTE). Mara nyingi upasuaji huo hufanyika kwa njia ya mionzi kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory).(Picha na JKCI).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...