Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wazee wa Kijiji cha Moga Mpitile Wilaya ya Kaskazini (A) Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati alipotembelea kijiji hicho leo Disemba 18,2019.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanafunzi wa Madrasa Mpitile katika Kijiji cha Moga Mpitile Wilaya ya Kaskazini (A) Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati alipotembelea kijiji hicho leo Disemba 18,2019.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...