Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kushoto) akipeana mkono na Waziri wa Fedha  wa Tanzania  Zanzibar,  Balozi  Mohamed Ramia (katikati) , baada ya kikao cha pamoja cha kujadili masuala mbalimbali ya kifedha yanayohusu Muungano, katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, Jijini Dar es Salaam, wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango , Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) pamoja na wajumbe kutoka Tanzania Bara na Visiwani.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa pili kushoto), Waziri wa Fedha  na Mipango  Tanzania  Zanzibar, Balozi  Mohamed Ramia (katikati) , Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (wa pili kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Tanzania Bara na Visiwani, baada ya kikao cha pamoja cha kujadili masuala mbalimbali ya kifedha yanayohusu Muungano, katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, Jijini Dar es Salaam.
(Picha na Scola Malinga, WFM, Dar es Salaam)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...