Mkuu wa Takwimu za Bei kutika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Abdul-Rahman Msham(katikati)akitoa takwimu za Bei ambapo imeonekana  kupanda Asilimia 3.1 kwa mwezi wa Novemba 2019 ukilinganisha na 2.4 kwa mwezi wa Octoba 2019 hafla iliofanyika ukumbi wa Mtakwimu mkuu mazizini Zanzibar.
Mhadhiri na Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo Kikuu cha Taifa SUZA Suleiman Simai Msaraka akifafanua baadhi ya maswala yalioulizwa  katika hafla ya utoaji wa  takwimu za Bei ambapo imeonekana  kupanda Asilimia 3.1 kwa mwezi wa Novemba 2019 ukilinganisha na 2.4 kwa mwezi wa Octoba 2019 hafla iliofanyika ukumbi wa Mtakwimu mkuu mazizini Zanzibar.

Meneja Uchumi Benki kuu ya Tanzania Tawi la Zanzibar Moto N’winganele Lugobi akijibu maswali yalioulizwa na Waandishi katika hafla ya utoaji wa  takwimu za Bei ambapo imeonekana  kupanda Asilimia 3.1 kwa mwezi wa Novemba 2019 ukilinganisha na 2.4 kwa mwezi wa Octoba 2019 hafla iliofanyika ukumbi wa Mtakwimu mkuu mazizini Zanzibar. 
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...