MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James akipokelewa vijana wanaounda Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi. Kikao hicho ni cha kawaida kwa mujibu wa kalenda za vikao vya Umoja wa Vijana wa CCM Taifa.
 MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James akiongoza kuimba wimbo wa taifa kwa  vijana wanaounda Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi.
 MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James akiongoza kuimba wimbo wa taifa kwa  vijana wanaounda Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...