Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wabunifu wa mavazi pamoja na wanamitingo wakati wa Tamasha la maonesha ya mitindo la Tanzania Red Rebbon Fashion Show 2019 lililofanyika jana Novemba 30/2019 Serena Hotel jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo lilikuwa na lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwajengea uwezo vijana liliandaliwa na Mwanamitindo mkongwe Bi. Khadija Mwanamboka kwakushirikiana na wanamitindo mbalimbali nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...