Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akifurahia jambo na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon (wanne kulia) baada ya kuagana leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Waheshimiwa wa Bunge la Tanzania na Maafisa Waandamizi kutoka Mashirikisho ya Amani Duniani.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza jambo na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Ndg. Young Ho Yun.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...