Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akimvalisha shuka la kimasai ambayo ni moja ya zawadi aliyompatia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Siasa, Katibu wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Organaizesheni ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam, Mhe. Pham Minh Chinh alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Siasa, Katibu wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Organaizesheni ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam, Mhe. Pham Minh Chinh alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akipokea zawadi ya chungu cha kuwekea maua kutoka kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Siasa, Katibu wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Organaizesheni ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam, Mhe. Pham Minh Chinh alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akizungumza na Wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam walioongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Mhe. Pham Minh Chinh (wapili kulia) walipotembelea ukumbi wa Bunge leo Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiongozana na Wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam walioongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Mhe. Pham Minh Chinh (wa pili kulia) wakati wanatoka katika ukumbi wa Bunge leo Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kulia) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha Kikoministi cha Vietnam walioongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Mhe. Pham Minh Chinh (katikati) nje ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...