Mkaguzi Msaidizi Uhamiaji Gerad Moses Mwasambili akifafanua baadhi ya maswali yalioulizwa na Waandishi  katika Mkutano wa utoaji wa Takwimu za Uingiaji wa Wageni nchini ambapo imeonekana kuongezeka kutotaka wageni 39,713 kwa mwezi wa Novemba 2018 hadi 47,824 Novemba 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini Zanzibar. 
 Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa utoaji wa Takwimu za Uingiaji wa Wageni nchini ambapo imeonekana kuongezeka kutotaka wageni 39,713 kwa mwezi wa Novemba 2018 hadi 47,824 Novemba 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini Zanzibar.
-Afisa masoko Mwandamizi Kamisheni ya Utalii Maabad Jaffar Muhiddini akijibu maswali ya Waandishi katika Mkutano wa utoaji wa Takwimu za Uingiaji wa Wageni nchini ambapo imeonekana kuongezeka kutotaka wageni 39,713 kwa mwezi wa Novemba 2018 hadi 47,824 Novemba 2019 hafla iliofanyika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Mazizini Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...