Globu ya Jamii mapema leo ilipokea taarifa ya kufuriki Dunia ,kwa aliyekuwa Katibu wa Baraza la wazee Yanga, huko Bagamoy0,Mkoani Pwani.
Aidha tunawapa pole sana kwa Ndugu,Jamaa na Marafiki ikiwemo na Klabu ya Yanga sambamba na Mashabiki wake.
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi-Amin
TUTAENDELEA KUWAJUZA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA MSIBA HUU
KWA KADIRI YA TAARIFA ZITAKAVYOKUWA ZIKIPATIKANA



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...