Globu ya Jamii mapema leo ilipokea taarifa ya kufuriki Dunia ,kwa aliyekuwa Katibu wa Baraza la wazee Yanga, huko Bagamoy0,Mkoani Pwani.
 
Aidha tunawapa pole sana kwa Ndugu,Jamaa na Marafiki ikiwemo na Klabu ya Yanga sambamba na Mashabiki wake.

Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi-Amin

TUTAENDELEA KUWAJUZA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA MSIBA HUU
KWA KADIRI YA TAARIFA ZITAKAVYOKUWA ZIKIPATIKANA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...