Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imetangaza nafasi za masomo zitakazoanza intake ya Mwezi Machi 2020.

Kwa mujibu wa TaSUBa, mwisho wa kutuma maombi hayo ni 20.02.2020.

Waombaji wametakiwa kutuma maombi yao kupitia barua pepe ya taasisi hiyo : application @tasuba.ac.tz au kutembelea mtandao wa taasisi hiyo: www.tasuba.ac.tz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...