Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imetangaza nafasi za masomo zitakazoanza intake ya Mwezi Machi 2020.
Kwa mujibu wa TaSUBa, mwisho wa kutuma maombi hayo ni 20.02.2020.
Waombaji wametakiwa kutuma maombi yao kupitia barua pepe ya taasisi hiyo : application @tasuba.ac.tz au kutembelea mtandao wa taasisi hiyo: www.tasuba.ac.tz
Kwa mujibu wa TaSUBa, mwisho wa kutuma maombi hayo ni 20.02.2020.
Waombaji wametakiwa kutuma maombi yao kupitia barua pepe ya taasisi hiyo : application @tasuba.ac.tz au kutembelea mtandao wa taasisi hiyo: www.tasuba.ac.tz
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...