Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akipokea mfano wa hundi ya Shilingi bilioni moja kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Ndg. Peter Maduki (kushoto) ikiwa ni gawio la VETA kwa Serikali katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma leo tarehe 12 Desemba 2019. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa VETA Dkt. Pancras Bujulu. Wengine katika picha ni Msajili Hazina, Athumani Mbuttuka na Naibu Katibu Mkuu, Adolf  Ndunguru.
Watendaji Wakuu wa VETA wakisikiliza nasaha kutoka Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati wa hafla ya kuwasilisha gawio kwa Serikali iliyofanyika jijini Dodoma leo, tarehe 12 Desemba 2019. Katika hafla hiyo VETA imetoa gawio la Shilingi Bilioni Moja. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Ndg. Peter Maduki, Mkurugenzi Mkuu wa VETA Dkt. Pancras Bujulu (katikati) na Kaimu Mkurugenzi wa Fedha wa VETA Ndg. Anthony Kasore (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...