Deogratias Maneno Mkurugenzi wa Huduma za Biashara Wakala wa Vipimo (WMA) akiweka vizuri moja ya jiwe  linalotumika kupima uzito wa madini baada ya kulitoa kwenye sanduku maalum leo katika maonesho ya bidhaa yanayofanyika kwenye banda la Karume viwanja vya Sabasaba barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam ambapo taasisi hiyo inashiriki kushoto anayetazama ni Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA).
Kutoka kushoto Deogratias Maneno Mkurugenzi wa Huduma za Biashara Wakala wa Vipimo (WMA) Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA) na Almachius Pastory Kaimu Meneja Sehemu ya Ukaguzi na Ufuatiliaji Wakala wa Vipimo (WMA) wakitoa maelezo kwa mwandishi wa habari wa TBC Stanley Ganzel pamoja na Rose Eric mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda hilo leo kwenye maonesho ya bidhaa yanayofanyika kwenye viwanja vya Sabasaba barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam leo.
Almachius Pastory Kaimu Meneja Sehemu ya Ukaguzi na Ufuatiliaji Wakala wa Vipimo (WMA) urefu na upana wa nondo ili kumlinda mtumiaji huku mwandishi wa habari wa TBC Stanley Ganzel pamoja na mmoja wa wananchi Rose Eric waliotembelea katika banda hilo wakishuhudia kushoto ni Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA).
Almachius Pastory Kaimu Meneja Sehemu ya Ukaguzi na Ufuatiliaji Wakala wa Vipimo (WMA) urefu na upana wa bati (Guage) ili kumlinda mtumiajihuku mwandishi wa habari wa TBC Stanley Ganzel pamoja na Rose Eric mmoja wa wananchi  waliotembelea katika banda hilo wakishuhudia kutoka kushoto ni Deogratias Maneno Mkurugenzi wa Huduma za Biashara Wakala wa Vipimo (WMA) na Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA).
Almachius Pastory Kaimu Meneja Sehemu ya Ukaguzi na Ufuatiliaji Wakala wa Vipimo (WMA) akitoa maelezo namna  ujazo wa vimiminika unavyopimwa.
Deogratias Maneno Mkurugenzi wa Huduma za Biashara Wakala wa Vipimo (WMA) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akifafanua zaidi kwa wananchi waliotembelea banda hilo namna ujazo wa vimiminika unavyopimwa.
Muonekano wa banda la Wakala wa Vipimo WMA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...