Mkurugenzi wa Habari maelezo
Zanzibar Juma Mohamed akibadilishana mawazo na Mmoja kati ya
Wanadiaspora Maggid Mjengwa katika Ziara ya Wanadiaspora katika Sehemu
mbalimbali ikiwemo shamba la Viungo(Spice)na kuangalia Wanyama Jozani
Mkoa wa Kusini Unguja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Haji Ussi (Gavu)akizungumza na
Waandishi wa Habari kuhusiana na ziara ya Wanadiaspora katika Sehemu
mbalimbali ikiwemo shamba la Viungo(Spice)na kuangalia Wanyama Jozani
Mkoa wa Kusini Unguja.
Mtembezaji wageni katika Shamba la
Kitundu Spice Rashid Ahmada Said akiwagawia wanadiaspora Mbegu za Mti
wa Mdalasini wakati walipofika katika shamba hilo la Viungo
(SPICE)wakiwa katika Ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali Zanzibar.
Wanadiaspora wakiwa katika ziara
ya kutembelea sehemu mbalimbali za Vivutio vya Utalii Ikiwemo
Viungo(Spice)Kitundu na kuangalia Wanyama Jozani Mkoa wa Kusini Unguja.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...