

Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa akikagua moja ya bomba lililopo kwenye mradi wa maji wa Muze
group uliopo Sumbawanga Vijijini.
Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wananchi pamoja na wafanyakazi wa maji wakati wa ziara ya ukaguzi wa mradi wa maji wa Muze group uliopo Sumbawanga Vijijini, awali mradi huu ulikuwa ujengwe na Mkandarasi kwa Bilioni 5.9 lakini kwa kutumia wataalamu wa ndani (Force account) utajengwa kwa gharama ya sh. Bilioni 3.1. Mradi unakwenda vizuri na vijiji viwili kati ya vijiji 10 vitaanza kupata maji mwezi huu.
Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa akielekea kukagua mradi wa maji wa Muze
group uliopo Sumbawanga Vijijini, awali mradi huu ulikuwa ujengwe na
Mkandarasi kwa Bilioni 5.9 lakini kwa kutumia wataalamu wa ndani (Force
account) utajengwa kwa gharama ya sh. Bilioni 3.1. Mradi unakwenda
vizuri na vijiji viwili kati ya vijiji 10 vitaanza kupata maji mwezi
huu.
Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa akipata maelezoya mradi wa maji kutoka kwa wataalam wa mradi wa maji wa Muze
group uliopo Sumbawanga Vijijini, awali mradi huu ulikuwa ujengwe na
Mkandarasi kwa Bilioni 5.9 lakini kwa kutumia wataalamu wa ndani (Force
account) utajengwa kwa gharama ya sh. Bilioni 3.1. Mradi unakwenda
vizuri na vijiji viwili kati ya vijiji 10 vitaanza kupata maji mwezi
huu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...