Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George Simbachawene akifurahia jambo na Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani  (WFP) ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa UN Nchini Tanzania,  Bwana Michael Dunford alipomtembelea Ofisini kwake  barabara ya Luthuli mapema hivi leo. Lengo la mazungumzo hayo ilikua ni kuhusu ushirikiano katika programu za Mazingira hususan mabadiliko ya tabianchi ambayo huathiri usalama wa chakula.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George Simbachawene akizungumza na Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani (WFP)  ambaye ni pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkazi UN Nchini Tanzania,  Bwana Michael Dunford,  alipomtembelea Waziri katika Ofisi yake Luthuli jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuhusiana na ushirikiano katika programu za Mazingira hususan mabadiliko ya tabia Nchi ambayo huathiri usalama wa chakula.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...