Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George
Simbachawene akifurahia jambo na Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani
(WFP) ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa UN Nchini Tanzania, Bwana
Michael Dunford alipomtembelea Ofisini kwake barabara ya Luthuli
mapema hivi leo. Lengo la mazungumzo hayo ilikua ni kuhusu ushirikiano
katika programu za Mazingira hususan mabadiliko ya tabianchi ambayo
huathiri usalama wa chakula.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh. George Simbachawene akizungumza na Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) ambaye ni pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkazi UN Nchini Tanzania, Bwana Michael Dunford, alipomtembelea Waziri katika Ofisi yake Luthuli jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuhusiana na ushirikiano katika programu za Mazingira hususan mabadiliko ya tabia Nchi ambayo huathiri usalama wa chakula.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...