![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akiendelea na shughuli ya kupanda mti |
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akifukia mchanga katika shimo alilopanda mti |
![]() |
Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Stephen P. Mbundi akipanda mti |
![]() |
Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Bw. Japhary Kachenje akipanda Mti |
![]() |
Afisa kutoka Idara ya Asia na Australasia skipanda mti. |
![]() |
Bi. Ellen Maduhu kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa akipanda mti wake. |
![]() |
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Bibi. Caroline Chipeta akipanda mti |
![]() |
Bw. Ali Ubwa kutoka Idara ya Afrika naye akipanda mti |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...