Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akipanda mti katika ofisi za Wizara zilizopo Mtumba, Ddodoma. Katibu Mkuu aliongoza Wakuu wa Idara/Vitengo na watumishi kupanda miti kwa awamu ya pili kufuatia mvua kubwa zinazonyesha mjini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akiendelea na shughuli ya kupanda mti
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe akifukia mchanga katika shimo alilopanda mti
Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Stephen P. Mbundi akipanda mti
Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Bw. Japhary Kachenje akipanda Mti
Afisa kutoka Idara ya Asia na Australasia skipanda mti.
Bi. Ellen Maduhu kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa akipanda mti wake.
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Bibi. Caroline Chipeta akipanda mti
Bw. Ali Ubwa kutoka Idara ya Afrika naye akipanda mti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...