Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akiwa ameshika moja kati ya bidhaa zilizobuniwa na Mbinufu wa mitindo ya mavazi wa Tanzania, Ally Rehmtullah mara baada ya kuzindua duka la mavazi ya aina mbalimbali yaliyobuniwa na Rehmtullah. Hafla iliyofanyika leo Chole Road Masaki jijini Dar Es Salaam
Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akizungumza jambo na Mbinufu wa mitindo ya mavazi wa Tanzania, Ally Rehmtullah kwenye hafla ya uzinduzi wa duka la mavazi na mitindo yaliyobuniwa na wabunifu wa Tanzania
Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunifu mbalimbali
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...