Wafanya biashara mbalimbali wakiwa katika Makutano ya Barabara ya Morogoro na Goba Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wakiwasubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali za jiji kununua mahitaji yao kama inavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)

Wafanya biashara wakisubiri wateja .  
Vijana wa Bobadoba  wakiwa katika kituO cha Mabasi cha Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo  jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja kama wanvyoonekana pichani)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...