Wafanya biashara mbalimbali wakiwa katika Makutano ya Barabara ya Morogoro na Goba Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wakiwasubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali za jiji kununua mahitaji yao kama inavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka Michuzi Tv)
Wafanya biashara wakisubiri wateja .
Vijana wa Bobadoba wakiwa katika kituO cha Mabasi cha Mbezi Luis wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja kama wanvyoonekana pichani)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...