Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Emma Lyimo (kulia) akikabidhiana nyaraka na Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Luiz Correia mara baada ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba baina ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na mgodi huo kwa ajili ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhusu uzingatiaji wa Sheria za nchi ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake katika utekelezaji wa shughuli za migodi. Hafla hiyo imefanyika leo Januari 13, 2020 katika Ofisi za Makamu wa Rais jijini Dodoma.
 Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka (kushoto) akikabidhiana nyaraka na Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Luiz Correia baada ya utiaji saini wa mkataba baina ya NEMC na mgodi huo kwa ajili ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhusu uzingatiaji wa Sheria za nchi ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake katika utekelezaji wa shughuli za migodi.
 Wajumbe kutoka Mgodi wa North Mara na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakipitia nyaraka kabla ya kutiliana saini kwa mkataba baina yao kwa ajili ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhusu uzingatiaji wa Sheria za nchi ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake katika utekelezaji wa shughuli za migodi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka akisaini mkataba kwa ajili ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhusu uzingatiaji wa Sheria za nchi ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake katika utekelezaji wa shughuli za migodi.

Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Mgodi wa North Mara, Bw. Tunzo Msuya akisaini mkataba wa baina yao kwa ajili ya utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuhusu uzingatiaji wa Sheria za nchi ikiwemo Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake katika utekelezaji wa shughuli za migodi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...