Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli awaapisha Mabalozi wateule wafuatao :-
1. Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini
2. Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Namibia
3. Profesa Emmanuel David Mwaluko Mbennah kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe
4. Dkt. Benson Alfred Bana kuwa Balozi Tanzania Nchini Nigeria
Hafla ya uapisho inafanyika Ikulu Jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...