Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
(katikati) akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichofanyika leo
katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kikao hicho kilijadili mambo
mbalimbali ya Mkutano wa 17 na kupitia ratiba ya Mkutano wa Kumi na Nane
(18) unaotegemea kuanza kesho tarehe 28 Januari, 2020 Bungeni Jijini
Dodoma
Wajumbe wa kamati ya uongozi
wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) wakati wa
kikao kilichofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kikao
hicho kilijadili mambo mbalimbali ya Mkutano wa 17 na kupitia ratiba ya
Mkutano wa Kumi na Nane (18) unaotegemea kuanza kesho tarehe 28 Januari,
2020 Bungeni Jijini Dodoma
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt.
Tulia Ackson akizungumza na Wajumbe wa kamati ya uongozi (hawapo kwenye
picha) wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika leo katika ofisi
za Bunge Jijini Dodoma. Kikao hicho kilijadili mambo mbalimbali ya
Mkutano wa 17 na kupitia ratiba ya Mkutano wa Kumi na Nane (18)
unaotegemea kuanza kesho tarehe 28 Januari, 2020 Bungeni Jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.
Prof. Adelardus Kilangi akizungumza jambo wakati wa kikao cha Kamati ya
uongozi kilichofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kikao
hicho kilijadili mambo mbalimbali ya Mkutano wa 17 na kupitia ratiba ya
Mkutano wa Kumi na Nane (18) unaotegemea kuanza kesho tarehe 28 Januari,
2020 Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Mhe. Jenista
Mhagama na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe
Wajumbe wa kamati
ya uongozi wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye
picha) wakati wa kikao kilichofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini
Dodoma. Kikao hicho kilijadili mambo mbalimbali ya Mkutano wa 17 na
kupitia ratiba ya Mkutano wa Kumi na Nane (18) unaotegemea kuanza kesho
tarehe 28 Januari, 2020 Bungeni Jijini Dodoma. Kuanzia kushoto ni
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge,
Mhe. Emmanuel Mwakilasa, Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Najma Giga na
Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Andrew Chenge
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...