Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Meja Jenerali (mst) Gaudence Milanzi akiwa ubalozi wa Kenya jijini Pretoria leo kutoa pole na kusaini kitabu cha rambirambi kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi, akiwa ndiye balozi wa kwanza kufanya hivyo katika mabalozi wanaowakikilisha nchi zao Afrika ya Kusini.
Home
Unlabelled
BALOZI WA TANZANIA AFRIKA KUSINI ATIA SAINI KITABU CHA RAMBIRAMBI UBALOZI WA KENYA MJINI PRETORIA KUOMBOLEZA KIFO CHA RAIS MSTAAFU MZEE DANIEL ARAP MOI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...